Chagua Dhumuni, Aina ya ombi, Aina ya muombaji, Aina ya kitambulisho/utambulisho wa mlipa kodi na Namba ya kitambulisho/utambulisho
3
Tumia namba ya kitambulisho cha Taifa kwa ombi lililokusudiwa kwa madhumuni ya makazi na fuata muundo huu: 1984081911660000xxx
4
Tumia namba ya usajili wa kampuni/TIN kwa Kampuni au Taasisi
5
Bonyeza/bofya Anzisha ombi jipya
6
Jaza wasifu, mawasiliano mbadala na maelezo ya makazi
7
Bonyeza/bofya tuma ombi
8
Utapokea ujumbe baada ya kujaza maelezo kwa ukamilifu na kufanikiwa kutuma
9
Tafadhali bonyeza/bofya hapa kuona orodha ya wakandarasi wa umeme wanaostahili au tembelea ofisi zao
10
Mpatie mkandarasi uliyemchagua namba ya ombi uliyopatiwa kutoka kwenye mfumo na namba ya simu uliyotumia kuombea umeme ili kumuwezesha kujaza maelezo ya mfumo wa mtandao wa nyaya katika jengo/eneo lako kwenye mfumo wa maombi mtandaoni
11
Mkandarasi wa umeme atajaza maelezo ya mtandao wa nyaya na tamko lake na kutuma maelezo ya muombaji TANESCO kupitia mfumo wa maombi mtandaoni
12
Muombaji utajulishwa kupitia ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) moja kwa moja baada ya mkandarasi wa umeme kutuma maelezo yake ya mfumo wa mtandao wa nyaya kwenye jengo/eneo lako TANESCO
13
TANESCO itafanya upimaji katika eneo la mteja ili kubaini gharama na mahitaji ya kuunganishiwa umeme baada ya hapo mteja atapatiwa makadirio ya bei na namba ya kulipia ili afanye malipo kupitia ujumbe mfupi wa maandishi(SMS) moja kwa moja au kupitia kupakua kutoka kwenye tovuti ya maombi ya umeme TANESCO
14
Mteja atalipia kupitia njia mbalimbali za malipo
15
Mteja atajulishwa moja kwa moja kupitia mfumo wa ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) baada ya kufanikiwa malipo yake
16
TANESCO itaunganisha umeme kuangaza maisha ya mteja
Hatua za kufuata
Chagua huduma ya kuomba umeme
Chagua Dhumuni, Aina ya ombi, Aina ya muombaji, Aina ya kitambulisho/utambulisho wa mlipa kodi na Namba ya kitambulisho/utambulisho
Tumia namba ya kitambulisho cha Taifa kwa ombi lililokusudiwa kwa madhumuni ya makazi na fuata muundo huu: 1984081911660000xxx
Tumia namba ya usajili wa kampuni/TIN kwa Kampuni au Taasisi
Bonyeza/bofya Anzisha ombi jipya
Jaza wasifu, mawasiliano mbadala na maelezo ya makazi
Bonyeza/bofya tuma ombi
Utapokea ujumbe baada ya kujaza maelezo kwa ukamilifu na kufanikiwa kutuma
Tafadhali bonyeza/bofya hapa kuona orodha ya wakandarasi wa umeme wanaostahili au tembelea ofisi zao
Mpatie mkandarasi uliyemchagua namba ya ombi uliyopatiwa kutoka kwenye mfumo na namba ya simu uliyotumia kuombea umeme ili kumuwezesha kujaza maelezo ya mfumo wa mtandao wa nyaya katika jengo/eneo lako kwenye mfumo wa maombi mtandaoni
Mkandarasi wa umeme atajaza maelezo ya mtandao wa nyaya na tamko lake na kutuma maelezo ya muombaji TANESCO kupitia mfumo wa maombi mtandaoni
Muombaji utajulishwa kupitia ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) moja kwa moja baada ya mkandarasi wa umeme kutuma maelezo yake ya mfumo wa mtandao wa nyaya kwenye jengo/eneo lako TANESCO
TANESCO itafanya upimaji katika eneo la mteja ili kubaini gharama na mahitaji ya kuunganishiwa umeme baada ya hapo mteja atapatiwa makadirio ya bei na namba ya kulipia ili afanye malipo kupitia ujumbe mfupi wa maandishi(SMS) moja kwa moja au kupitia kupakua kutoka kwenye tovuti ya maombi ya umeme TANESCO
Mteja atalipia kupitia njia mbalimbali za malipo
Mteja atajulishwa moja kwa moja kupitia mfumo wa ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) baada ya kufanikiwa malipo yake
TANESCO itaunganisha umeme kuangaza maisha ya mteja